HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

21 July 2010

SIMBA NA YANGA ZAPEWA VIFAA KWA AJIRI MSIMU UJAO WA LIGI

Viongozi wa klabu ya simba wakipokea vifaa watakavyotumia katika michuano ya ligi kuu soka tanzania bara hivi karibuni .
Hawa ni viongozi wa klabu ya yanga na wao wakipokea vifaa vya timu yao kilimanjaro breweries inadhamini vilabu viwili ambavyo ushiri katika ligi kuu tyanzania bara ambapo vitacheza ngao ya hisani 
Mlinda mlango wa klabu ya Simba sports Club juma kaseja akijaribu moja kati viatu walivyopewa na SBL AHTUMAN IDDY chuji na akijaribu moja viatu ambavyo watavitumia katika msimu wa mwa huu kama unavyoweza kunaona rangi ya kiatu ni ya jangwani
ATHUMANI IDDY NA ABDY KASIM NAO WAKIJARIBU BAADHI YA VIFAA WALIVYOPATA KUTOKA SERENGETI SBL

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers