HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

26 October 2010

NI KWELI KENETH ASAMOAH ATACHEZA RAUNDI YA PILI

Pichani ni mseamji wa klabu ya yanga luis sendeu akizungumzia swala la mchezaji keneth asamoah ambaye amekosa baadhi ya mechi za klabu hiyo za msimu huu baada ya kukosa ITC Leseni ya kimataifa ya kufanyia kazi nchi kutoka klabu yake ya zamani ya serbia sendeu amesema kumetokea matatizo tu ya kiufundi kuhusu mitandao lakini maboma yatakuwa sawa hivi karibu lakinisendeu amesisitiza kuwa kuna baadhi ya vyombo vya habari vimeandika kuwa mcheza wa yanga amefumaniwa gesti nakusistiza kuwa jambo hilo halipo na halitatokea ni uzushi mtupu

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers