HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

9 August 2012

Fununu za Usaili Ulaya

Klabua ya soka ya Arsenal  Haita muuza robin Van Persie  (29) cini ya pauni milioni ishirini  na itaongeza milioni juu kama Man utd itamtaka kumnunua mchezaji huyo
Aidha Mholanzi huyo amepewa ahadi ya kulipwa pauni laki mbili na ishirini ambapo naye atakuwa mchezaji anayelipwa ujira mkubwa zaidi hapo old traford ambapo kwa sasa anayepokea ujira mkubwa ni Wayne Rooney .  
 
Mkufunzi mpya wa liverpool Brendan Rodgers yu karibu kuungana na mchezaji wake wa zamani Joe Allen baada ya Liverpool kutoa ofa ya pauni milioni 15 kumnunua kijana huyo mwenye anayecheza nafasi ya kiungo kutoka swansea mwenye miaka 22
Liverpool wanamuuitaji winga Adam Johnson kwa mkopo na malipo ya pauni milioni 23 kumuachia mlinzi Daniel Agger kujiunga Man city. 
 Mshambuliaji wa Atletico Bilbao Fernandp Lliorente amekataa kuongeza mkataba mpya na klabu yake na kuzifanya chelsea na Livepool kufikira kumsajiri Mchezaji huyo.
Aston Vila imempa ofa ya mkataba wa miaka mitatu beki wa italia Simone Farina mwenye umri wa miaka 30 ambaye amvutia mkufunzi wa wa timu hiyo Paul Lambert alipokuwa akicheza katika ligi ya serie B Gubbio.
Birmingham city haito msajiri kiungo wake wake wa zamani mwenye miaka 28 Baada kushindwa kufuzu majaribio ambaye kwa sasa ni mchezaji huru 

 
Tottenham  imeripotiwa kutaka kumsajiri kiungo wa partizan Belgrade Mohamed Kamara mwenye miaka ishiri na nne
Mkufunzi wa klabu ya Blackburn steve Kean amesema yu karibu kufanikisha kumsajiri kwa mkopo mchezaji wa kimataifa wa uturuki Colin Kazim Richards mwenye miaka 25 ambaye kwa sasa yupo katika klabu ya Galatasaray  
.
Sheffield united inataka kumsajiri mshambuliaji wa Blackburn Nick Blackman 22 

Mwisho 

Manchester uinited ipo katika mchakato wa kutajwa klabu yenye thamani zaidi ambapo itauza hisa za klabu hiyo katika soko la hisa na New york  

Full story: the Guardian 


No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers