HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

8 October 2012

MZALIWA WA MULEBA TEMMY ALFONCE AIKANDAMIZA YANGA



Ligi kuu ya Tanzania Bara imeendelea hii leo katika uwanja wa kaitaba Mjini Bukoba ambapo timu ya Yanga imeambulia kichapo cha bao 1-0 Kutoka kwa wakata miwa wa Kagera Sugar.
Bao la Kagera Sugar limepatikana kipindi cha pili cha mchezo dakika ya 25, Bao hilo limefungwa na mchezaji mahiri mzaliwa wa Kimbugu Muleba Temmy Alfonce. na huu unakuwa mwanzo mmbaya kwa kocha mpya wa yanga Brandts ambaye ni raia wa uholanzi ambapo mechi ya kwanza aliambulia suluhu dhidi ya simba na leo kupata kichapo cha goli kwa moja kwa bila dhidi kagera sugar .

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers