HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

12 December 2012

GOALNE TECH:NI KUPOTEZA PESA PLATINI


Rais wa UEFA  Michel Platini amepinga vikali na amesema hata unga mkono matumizi ya utumiaji wa teknoloia ya ugunduzi wa goli Barani ulaya ,na ameelezea kuwa  juhudi hizo za fifa ni za kupoteza fedha pasipo na sababu ya msingi  ”. 

Platini ambaye amepewa jina la mlopkaji amekuwa akipinga juhudi hizo za fifa kutaka kuleta teknolojia ya ugunduiz wa goli kuvuka mstari  na amesema ni kheri wangejikita katika kuongeza waamuzi kuwa watano. 

Amesema hayo Katika ufunguzi wa kombe la dunia la vilabu huko japana vile vile kunafanyika majaribio ya mifumo mifumo aina ya ugunduzi wa goli wa  kwanza ni – GoalRef,  ambao hutumia sumaku kugundua kama goli limeingia au halijaingia na ya pili ni  jicho la samaki ambayo yenyewe hutumia vinasa picha mwendo sita mpaka nane (Moving Camera ) kutoka Engo tafauti  . 

 Platini, ambaye yupo asia kutia  saini makubaliano ya kupinga  matumizi ya mifumo hiyo na  (AFC) shirikisho la soka bara la Asia katika makao makuu yake huko   Bukit Jalil, ili kundelea na kusisitiza kuwa na msimamo mmoja wa kupinga kile wanaachookitaa ni upotevu wa fedha  

Platin  --- “itagharimu yuro   50mil katika kulipgia upatu wazo hilo katika mashindano ya vilabu bingwa barani la ulaya na ya kimataifa na itachukua miaka mitano anasema  Platini. 

'' Ni kheri nichukua mil yuro  mil 50 na kuwekeza katika maendeleo ya  soka la vijana  … Huo utakuwa utumiaji Mzuri wa pesa lakini sio kutumia fedha nyingi kiasi hicho  kwa tukio linalotokea kwa mwaka mara mbili au mara moja . 

“Nina amini  bora kutetea waamuzi wawe watano badala ya kuja na mfumo huo 

“Kama mwamuzi atasimama mita moja kutoka kwenye goli  atakuwa na uwezo wa kuona kama goli limeingia au halijaingia .” 

lakini wakati  UEFA hawataki mchakato hu rais wa shirikisho la asia ambaye anashikiria madaraka kwa  muda Zhang Jilong anaonekana kukubaliana na wazo la fifa . 

“Tutazama mafanikio katika michuano hii ya Tokyo na tutapata jibu kama tutumie mfumo huu  au tuachanane nao ,” aliongeza  Jilong. 

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers