Baada ya
kupitia fomu za waombaji uongozi TFF, Kamati ya Uchaguzi ya TFF leo saa
10 kamili jioni itabandika kwenye ubao wa matangazo wa TFF majina ya
waombaji ili kutoa fursa kwa kipindi cha pingamizi. Mwisho wa kupokea
pingamizi dhidi ya waombaji uongozi ni tarehe 26/01/2013 saa 10 kamili alasiri.
Boniface Wambura
Media Officer
Tanzania Football Federation (TFF)
No comments:
Post a Comment