HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

16 January 2013

Pep Guardiola:NATAKWENDA UINGEREZA WAKATI HUU

 

 

Kocha wa zamani wa klabu soka ya Barcelona  Pep Guardiola amezungumza kwa mara ya kwanza kuwa anataka kupata changamoto mpya kwa kufundisha klabu moja wapo nchini uingereza .
Guardiola, ambaye ameipatia Barca mataji  14 katika misimu minne anaonekna kutafuta kibarua kipya kwa sasa . 
Pep 41 amesema kuwa akiwa kama mchezaji akufanya maamuzi ya kutaka kucheza soka uingereza lakini siku za usoni anatarajia kuwa mkufunzi katika soka la uingereza 
."
Kwa maneno haya Man city ,Chel,na united timu ambazo zinaamini kuwa zinahitaji hasa saini ya mkufunzi huyo na zimekuwa zikimfuatilia Guadiola zinaweza kufanikiwa kumpata  na hii inakuja mara baada ya Jose Mourinho kuonyesha dhahiri kuwa anataka kurejea uingereza 

Guardiola aliongeza kwa kusema : " Ni kitu cha kipekee kucheza ligi hii .Nataka kuona hisia za mashabiki, Mzingira , Vyombo vya Habari aina ya wachezaji  na kila kihusucho ligi ya Uingereza  
kiukweli ni ligi bora ukizingatia mimi bado mdogo .
" Guardiola Kwa sasa anaishi  New York na familia yake baada ya kuamua kuchukua mapumziko ya mwaka mmoja

Loic Remy NA  Yann M'Vila

 Yann M'Vila

Loic Remy




Kocha wa Queens Park Rangers  Harry Redknapp amesema kuwa  Loic Remy amefaulu vipimo vya afya na sasa kinachofanyika ni makubariano binfsi kati ya yeye na klabu husika na amesma yuko karibuni  kumtia kwapani kiungo wa ufaransa  Yann M'Vila.
Mshambuliaji wa Marseille Remy, 26,alionekana kwenda  Newcastle lakini sasa atajiunga na QPR kwa ada ya uhamisho wa pauni  £8m, wakati kiungo wa  Rennes  M'Vila, 22, anatarajiwa kuwagharimu pauni  £7m.
Redknapp amesema alivutiwa kusainisha wachezaji ambao anaona  wanaafaa kwa klabu yake 

"na ameongeza kuwa anatarajia kumnasa mshambuliaji wa West Brom Peter Odemwingie kwani tumesha pereka maombi ya kumsajiri lakini inaonekana imezimwa  na una haki ya kumuhitaji ni mchezaji mzuri kocha huyo bado anamsaka Mlinzi  Jonas Olsson na Kiungo wa Tottenham  Jake Livermore.
  QPR waliifunga   West Brom 1-0 na kuingia hatua ya nne ya michuano ya FA na kundelea na Takwimu  ya kutokufungwa mwaka   2013

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers