HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

30 January 2013

Shanghai Shenhua YAGOMA KUMUACHIA Didier Drogba


Didier Drogba 

 Shanghai Shenhua  Imesema  Didier Drogba atabakia kuwa mchezaji wao licha ya kujiunga na klabu ya Uturuki ya  Galatasaray  baada ya kukamilisha makubaliano Binafsi .

Mchezaji huyo wa zamani wa chelsea ametia kandarasi ya miezi kumi na nane siku ya jumatatu 

Klabu hiyo imesema itashitaki fifa kwani uhamisho huo umevunja taratibu na bado ana mwaka mmoja wa kuchezea klabu hiyo ambao alisaini mwaka jana mwaka 2012 na bado ni mchezaji wao .
"

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers