HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

24 February 2013

SHUGHURI PEVU UINGEREZA CHELSEA CHALI

Yaya Toure celebrates his opening goal

Magoli yaliyofungwa katika kipindi cha pili na  Yaya Toure na  Carlos Tevez yamerejesha ahueni kwa mabingwa watetezi wa ligi kuu ya uingereza  Manchester City  baada ya kuikandamiza   Chelsea na kupunguza uwiano wa alama za kuongoza dhidi ya vinara wa ligi ya premier  dhidi  Manchester United kwa alama 12 .
 Frank Lampard alipata nafasi safi ya kufunga goli la mia mbili akiwa na chelsea 200th  lakini penati yake iliokolewa na Joe Hart dakika saba baada ya kipindi cha pili kuanza 

 Yohan Cabaye scores from the spot for Newcastle against Southampton


Newcastle imetoka nyuma mara mbili na kushinda dhidi ya  Southampton.
Morgan Schneiderlin alipiga mpira kwa kuparaza na kuifungia timu yake goli la uongozi  Moussa Sissoko aliisawazishia timu yake kwa kufunga ndani ya kisanduku  .
lakini shuti la mita 25 kutoka  Papiss Cisse  ambaye alifunga bao safi kwa shuti ya aina yake na kuweka mchezo kusomeka moja moja .

Danny Fox's alishika mpira ambao  Yohan Cabaye kwa penati kabla ya  Jos Hooiveld's kujifunga mwenyewe .
mpaka mwisho wa mchezo Newcaslte 4-2soton 

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers