HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

24 February 2013

SWANSEA YAFANYA KUFURU WEMBLEY

Swansea's Nathan Dyer (in white) puts his side ahead against Bradford in the Capital One Cup final at Wembley 

Swansea imefanikiwa kutwaa taji lao la kwanza baada ya kuifunga timu kutoka daraja pili ya  Bradford katika fainali ya   Capital One Cup.
  Swans ilikwenda mapumziko ikiwa magoli mawili huku mlinda mlango wa Bradford  Matt Duke kulimwa kadi nyekundu  Nathan Dyer alifunga kwa faulo  kwenye engo ya juu .

League Cup final 
Michu alimiliki mpira kwa miguu yake na baadae  Carl McHugh na  Dyer rifled waliipatia magoli ya kuongoza  Swansea's .

Duke alilimwa kadi nyekundu kwa kumfanyia faulo  Jonathan De Guzman, na alifunga penati hiyo na alifunga tena goli la tano katika dakika za mwisho za mchezo huo na kuipa timu  yake  ushindi timu hiyo inayoshiriki ligi ya uingereza
 
 League Cup final
 

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers