Tetesi na fununu nyingi barani ulaya zinasema kuwa Carlo Ancelotti’s bado ajajua mustakbari wake katika siku chache zilizopita kituo cha radio cha monte calro kimenukuu kuwa mtaliano huyo ataendelea kusalia kuifundisha timu ya
Paris Saint-Germain’s mkurugenzi wa ufundi wa timu hiyo , Leonardo de Araujo na Rais wa timu hiyo , Nasser Al-Khelaifi kuwa ataendelea kuifundisha timu hiyo kabla ya mehi ya Valenciennes, Kwa mujibu wa radio tajwa hapo juu wachezaji waliuliza kuhusu mustakbali wa mkufunzi moja ya wachezaji hao ni , Thiago Silva, Matuidi, Pastore,
Verratti na Sirigu. mkufunzi huyo aliwaambia kuwa atasaini kandarasi ya miaka miwili lakini kandarsi yake sio nzito sana
Katika hatua nyingine , wakala Ernesto Bronzetti amekiambia kituo cha runinga cha 'Sky
Sport' kuwa Carlo Ancelotti anaweza kwenda Madrid: "Kama
Mourinho atakwenda chelsea , yeye [Ancelotti] ni moja kati ya wakufunzi ambao wapo kwenye orodha ya kwenda real madrid , Florentino Pérez alijaribu kumsainisha mara mbili , lakini yuko chini mkataba wake na PSG, ambao bado wanamhitaji .
No comments:
Post a Comment