Kijana mwenye 23 raia wa Gabon na mchezaji wa Saint Etienne inayoshiriki (Ligue 1) anayecheza nafasi ya ushambuliaji ,
Pierre-Emerick Aubameyang amatangazwa kuwa mchezaji wa mwaka wa tuzo ya Marc-Vivien Foe huko Ufaransa .
Ikianzishwa mwaka 2009,na ikilenga kumbukumbuku ya kuheshimu mchango wa aliyekuwa mchezaji wa kimataifa wa cameruni katika nafasi ya kiungo aliyepata mshituko wakati wa kombe la mabara ililofanyika nchini ufaransa mwaka 2003 katika mchezo wa nusu fainali dhidi ya Colombia.
katika hafla hiyo , baada ya kula 68 zilizopigwa na waandishi wa habari wa michezo, Aubameyang alichaguliwa kuwa mchezji wa tuzo hiyo kwa mchezaji kutoka afrika katika Ligue 1 akipata kura 209 akimzidi raia wa Cameruni Nicolas Nkoulou aliyepata kura (81) na Jonathan
Pitroipa kutoka Burkina Faso aliyepata kura (35 points). Piere ambaye ni mchezaji bora wa mwaka 2013 amefunga magoli 19 katika mechi
34 .
No comments:
Post a Comment