HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

15 May 2013

ARSENAL NA CHELSEA KUKUTANA TENA LIGI YA UINGEREZA (FA)

Eden Hazard and Aaron Ramsey could face each other again this season
JE KUNA NAFASI ? ... Eden Hazard na Aaron Ramsey wanaweza kupambana tena .
Picture: RICHARD PELHAM
.
Wakuu wa ligi ya uingereza wanaumiza vidole vyao kwa kupiga mahesabu kwenye karatasi baada ya kuumiza kichwa sana kutafuta timu gani itafuzu hatua ya ligi ya mabingwa bila mechi za kufuzu kama klabu hizo za london zitamaliza zikiwa zimelingana alama na tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa .

Hilo linaweza kutokea tu siku ya jumapili kama  Gunners itashinda  2-1 dhidi ya  Newcastle na  Blues kutoa suluhu ya kutokufungana dhidi ya  Everton.
kama mambo yatakuwa hivyo ,hakutakuwa na njia nyingine zaidi ya timu hizo kukutana tena — atakaye fungwa katika mechi hiyo atakuwa hana namna zaidi kucheza mechi kufuzu klabu bingwa ya ulaya na mshindi kwenda moja kwa moja katika hatua ya makundi katika michunano ambayo inavuta hisia za watu wengi,Mechi hiyo itakuwa ni ya kuvutia na bila shaka itaperekwa uwanja wa wembley ,Lakini tatizo sio hilo ni lini mechi hiyo itachezwa? .
Chelsea  inatarajia kwenda kufanya ziara  USA ambapo itacheza mechi mbili za  kirafiki dhidi ya  Manchester City wiki ijayo , wakati huo huo kukiwa na maechi ya kirafiki kati timu ya taifa ya  uingereza mechi itakayo chezwa May 29 Dhidi ya Jamhuri ya Watu Ireland ikifuatiwa na  Brazil  June 2.
hakuna klabu hata moja itakayo kubali kucheza mwezi wa sita lakini mechi hii ni sehemu ya sheria ya ligi kuu ya uingereza .
Kifungu cha sheria kinasema hivi : “Kama ikiwa mwishoni mwa msimu ...shida ya nani kupata mshiriki ramsi  katika mashindano halipata ufumbuzi kwa sababu ya klabu moja au mbili zimefungana alama au magoli ya kufunga  , Klabu hizo zinatakiwa kucheza  mechi moja zaidi au kucheza zenyewe katika uwanja ambao kila timui itakuwa ngeni .
“Mfumo , muda  na  Uwanja ambao mechi hiyo itabidi ichezwe utaamualiwa na bodi  .”

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers