Klabu ya soka ya AS Roma imekung'utwa faini ya EURO 50,000 Sawasawa (£42,400)
baada ya kutoa kelele zinazoashiria ubaguzi kumbagua mchezaji wa AC Milan.mario baloteli baada ya kwenda suluhu ya kutokufungana hapo jana ambapo mchezo huo ulisimama kwa dakika mbili baada ya mashabiki wa roma kufanya kitendo cha kibaguzi
.Kocha wa AC Milan Massimiliano Allegri amesema kuwa kunahitaji kutolewa adhabu kubwa zaidi ilikuleta picha nzuri kwa soka ya italia .
Aidha klabu ya soka ya AS roma imeomba radhi kwa kitendo ambacho mashabiki wake wamekifanya .
No comments:
Post a Comment