Unaweza kufikiri ni utani lakini sio utani tazama picha hiyo hapo juu unaweza kusema huu ni mwezi oktoba ambapo ni maalum kwa wajerumani kunywa bia na kusherekea siku ya bia lakini hapa sivyo mwezi huu ni mwezi wa tano ambapo Bayer munchen ya Ujerumani wakishangilia na unayemuona pichani Bastian Schweinsteiger ambaye anakoga pombe !
Bayern Munich iliifunga Augsburg 3-0 katika mechi yao ya mwisho ya msimu huu , wakitwaa taji la ubingwa wa ujerumani walilochukua siku nyingi mara ya kuutwaa ubingwa huo , Daniel van Buyten aliamua kumuaogesha kiuongo huyo wa Ujerumani .
No comments:
Post a Comment