Timu ya taifa ya walemavu ya mchezo wa mpira Tennis
wanaotumia viti vya matairi inaondoka jumapili ijayo kwenda nchini
uturuki kushiriki michuao ya BNP Paribas ambayo ni michuano ya dunia
itakayo fanyika katika jiji la Antalya michuano hiyo itafanyika kuanzia
May 20-26.
Kamati ya mchezo ya walemavu ya Tanzania Paralympics (TPC) inayoongozwa na Mwenyekiti , Johnsen Jansen, Amesema kuwa wachezaji wawili wataiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo.
Kamati ya mchezo ya walemavu ya Tanzania Paralympics (TPC) inayoongozwa na Mwenyekiti , Johnsen Jansen, Amesema kuwa wachezaji wawili wataiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo.
wachezaji hao wataambatana na maafisa wawili .
wachezaji ni pamoja Novatus Emmanuel anayetoka shule ya Pugu Secondary na Juma Hamis wakati watakaongozana nao ni pamoja na Mathew Selevani na Mkufunzi wa Timu hiyo Riziki Salum.
Michuano ya BNP Paribas kwa walemavu inaenda sawa kwa viwango na Davis Cup na Fed Cup katika hatua za kimataifa .
“Hii ni mara ya kwanza tutakuwa na timu katika mashindano ya timu za kimataifa .Wachezaji hawa walipata vigezo vya kushiriki michuano hii baada ya kufuzu katika mashindano yaliyofanyika nchini kenya nchini mwaka jana .
“.Tuna amini kuwa tutarudi na Nishani,” .Mashindano ya BNP Paribas ni mashindano ambayo hufanyika kila mwaka katika nchin tofauti na hujumuisha nchi mbalimbali na hujumusiha wanawake na wanaume katika viwango na miaka tofauti mbali.
“Aidha alimshukuru , Inga Njau kwa kuwaunganisha na shirikisho la mchezo wa Tennis .Bila yeye tusingekuwa hapa,
wachezaji ni pamoja Novatus Emmanuel anayetoka shule ya Pugu Secondary na Juma Hamis wakati watakaongozana nao ni pamoja na Mathew Selevani na Mkufunzi wa Timu hiyo Riziki Salum.
Michuano ya BNP Paribas kwa walemavu inaenda sawa kwa viwango na Davis Cup na Fed Cup katika hatua za kimataifa .
“Hii ni mara ya kwanza tutakuwa na timu katika mashindano ya timu za kimataifa .Wachezaji hawa walipata vigezo vya kushiriki michuano hii baada ya kufuzu katika mashindano yaliyofanyika nchini kenya nchini mwaka jana .
“.Tuna amini kuwa tutarudi na Nishani,” .Mashindano ya BNP Paribas ni mashindano ambayo hufanyika kila mwaka katika nchin tofauti na hujumuisha nchi mbalimbali na hujumusiha wanawake na wanaume katika viwango na miaka tofauti mbali.
“Aidha alimshukuru , Inga Njau kwa kuwaunganisha na shirikisho la mchezo wa Tennis .Bila yeye tusingekuwa hapa,
No comments:
Post a Comment