Kocha wa klabu ya soka ya arsenal ya Arsenal anasema aliona dalili za kuwa msimu huu utakuwa wa mwisho kwa Fergie’ — baada ya wawili hawa kumaliza dili ya kuuziana mchezajia aliyeigharimu pauni £24m klabu ya Manchester united Robin
van Persie.
Ferguson na Wenger’ ambao ni mahasimu wakubwa — hasa katika miaka ya mwishoni mwa 90s na mwanzoni mwa 2000 —
ambao walihawi kutengeneza baadhi ya mechi za kuvutia katika ligi kuu ya uingereza ambazo zilivutia watu na mashabiki kwa ujumla .
Lakini Wenger anasema kuwa hakushangazwa pale Ferguson alipotangaza kuwa May 8 angestaafu: wenger “Niliwaambia maafisa wangu kuwa muda mrefu kuwa nadhani mwaka huu utakuwa mwaka wa mwisho kwa Alex
Ferguson’s, kwa hiyo sikushangazwa kabisa .
“Niliona Ishara nyingi sana msimu huu, na zilikuwepo ishara moja msimu huu na zilishaanza ,kuwa ingekuwa msimu wa mwisho kwake .
VIDEO KWA MSAADA WA THE SUN UK
No comments:
Post a Comment