HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

5 June 2013

DAVID MOYES KUMUAMISHA Leighton Baines Everton KWA PUANI MIL 10


 


Kocha mpya wa Manchester United  David Moyes ameanza kazi ya kuhamisha wachezaji aliwazoea akianza na beki wa  Everton Leighton Baines.kwa mujibu wa gazeti la ki siku la
 Express s United wapo tayari kutoa  kitita cha pauni  £10 kwa ajiri ya kumng;oa mchezaji huyo wa  Everton .
  lakini gharama hiyo inaweza kufika hadi pauni mil 15 kwani vijana hao wa Merseyside wanaweza kuongeza gharama ya mchezaji huyo na kuwa kubwa zaidi kwani ni  Moyes huyo huyo aliyemtoa mchezaji huyo wigan na kumpeleka Goodison kwa pauni Mil  £6m mwaka  2007.

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers