Rais wa Tff Jamali amesikitishwa na hari ilivyo katika mkoa wa Ruvuma kuwa na waamuzi nane tu licha kuwa na wilaya nyingi kama Mbinga,Mbambay,Tunduru,Peramiho na Namtumbo ,Songea Vijini Na Mjini ,Wilaya ya Nyasa ,Nyinginezo kuwa anashindwa kuelewa walipitaje hadi kufika katika viwango vya Fifa amesema hayo alipokuwa akifunga semina ya Waamuzi watakaochezesha Ligi kuu Tanzania bara na Zanzibar .
BOFYA
Aidha kuna waamuzi watatu ambao wamehusika katika upangaji wa matokeo ambapo Rais wa Tff amesema kosa hilo ni la kimataifa na amesema kuwa atatoa ushirikiano kwa shikirisho la kimataifa Fifa
BOFYA
Aidha Baadhi ya waamuzi ambao wamefanikiwa kufuzu katika semina hiyo walikuwa na haya ya kuzungumza
BOFYA
No comments:
Post a Comment