HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

25 July 2014

MALINZI ASIKITSHWA NA MKOA WA RUVUMA !UNA WAAMUZI NANE TU (SIKILIZA RADIO)


 

Rais wa Tff Jamali amesikitishwa na hari ilivyo katika mkoa wa Ruvuma kuwa na waamuzi nane tu licha kuwa na wilaya nyingi kama Mbinga,Mbambay,Tunduru,Peramiho na Namtumbo ,Songea Vijini Na Mjini ,Wilaya ya Nyasa ,Nyinginezo kuwa anashindwa kuelewa walipitaje hadi kufika katika viwango vya Fifa amesema hayo alipokuwa akifunga semina ya Waamuzi watakaochezesha Ligi kuu Tanzania bara na Zanzibar .
BOFYA

Aidha kuna waamuzi watatu ambao wamehusika katika upangaji wa matokeo ambapo Rais wa Tff amesema kosa hilo ni la kimataifa na amesema kuwa atatoa ushirikiano kwa shikirisho la kimataifa Fifa 
BOFYA

Aidha Baadhi ya waamuzi ambao wamefanikiwa kufuzu katika semina hiyo walikuwa na haya ya kuzungumza 
BOFYA

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers