Kocha mkuu wa klabu soka ya Yanga amesema hawatoshiriki michuano ya Kombe la Kagame mpaka watakapopata Barua Rasmi ya Mwaliko kutoka Katika Baraza la vyama vya soka Afrika Mashariki na kati CECAFA akizungumza katika Mazoei ya Timu hiyo katika shule ya Sekondari ya Loyola iliyopo mabibo Marcio Amesema kwa sasa anajiandaa kwa Kila kitu bila kujari watashiriki au kutoka shiriki michuano hiyo.
Aidha amewapasha wachezaji wenye Majina kuwa wasitegemee majina yao kuwa yatawabeba katika klabu hiyo na Badala yake wajikite katika mazoezi ndipo atakapochagu wachezaji hata katika michuano ya Kombe la Dunia timu zilizotegemea Mchezaji Mmoja mmoja hazikufua Dafu katika soka mwaka huu .
No comments:
Post a Comment