HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

29 July 2014

ROGASIAN KAIJAGE AKILI KUWA MASHINDANO YA ROLINGSTONE YALIJAA USANII (SIKIZA SAUTI)

Kocha na Mkufunzi wa makocha Tanzania Rogasian Kaijage amesema kuwa wachezaji walioshiriki michuano ya Rolingstone bado hajajua hatima yao itakuwa wapi na kubwa zaidi amesema kuna Udanganyifu mkubwa wa wachezaji Kudanganya Umri kwani wapo wachezaji ambao yeye mwenyewe Binafsi amekiri kuwatambua na kusema wanacheza soka kwa Muda Mrefu.
Michuano hiyo hutumika kwa kuibua vipaji ambapo safari yamefanyika katika mkoa wa Dar Es Salaam kwani mara kadhaa yamekuwa yakifanyika mkoani Arusha na Timu ya Vijana ya Azam kutwa Ubingwa huo

  wa Rolling Stone 2014 baada ya kuichapa magoli 2-0 timu ya  JWTZ Twalipo Academy katika mchezo uliopigwa katika uwanja wa karume Jijini Dar es salaam.

Magoli yaliyofungwa na Jamil Mchaulo Baloteli dk4 na Adam Omar Soba dk88 yametosha kuipa ushindi Azam Academy .

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers