HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

19 June 2009

TAMASHA LA FILAMU ZANZIBAR 27th JUNE5th JULY

Tamasha la kumi na mbili la filamu lianataji kufanyika zanzibar kunzia 27 hadi 5July huko stone town. akizungumza na waandsihi wa habari katika ukumbi wa aliance francaise CEO Martin Mhando amesema jumla ya Filamu 50 zitaonyshwa kwenye kumbi mbalimbali katika kumbi nne tofauti ,pemba.Dar es salaam,Bagamoyo, na vijiji vya zanzibar vilevile kutakuwa na filamu za maonyesho ya watoto . Martin Mhando mkurugenzi wa ZIFF akizungumzia tamasha hilo mbele ya waandishi habari kulia kwake ni hasan mitawo director wa tamasha hiloTamasha hilo litasindikizwa na wanamuziki mbalimbali kutoka india,uholanzi,marekani mexico vilevile watakuwepo wanamuziki kutoka tanzania, uganda,kenya na afrika ya kusini. lengo ni kukuza sekta ya filamu na kuleta ushindani kutoka kushoto ni Boni temba Banarbas Amin , eziker hayupo pichani wa THT na Henry Mzee hayupo pichani wa APPLE MUSIC CROSSROAD walipokuwa wakitumbuiza katika uzinduzi wa ZIFF katika ukumbi wa alliance Francaise Tamasha hilo litahudhu;iwa na Msanii maarufu Dany Groove kutoka marekani na Horacio Franco wa kutoka mexico na mwaka huu mshindi wa filamu hizo atapata donge la shs dollar 500

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers