HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

11 August 2010

TANZANIA1-1HARAMBEE STARS

Timu ya tanzania imeshindwa kutamba katika uwanja wake wa nyumbani baada ya kutoka sare ya goli moja moja na harambee stars katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika uwanja wa uhuru ,harambee ndiyo walikuwa wa kwanza kuliona lango la stars kabla ya mrisho ngasa kusawazisha bao

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers