HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

13 September 2012

KANDORO KUKATA UTEPE MPIRA WA PETE KESHO MBEYA

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro




Ligi kuu ya mpira pete  inatarajia kuanza kesho  mkoani mbeya ambapo mkuu wa mkoa wa mbeya Abbas kandoro ndiye amepewa dhamana ya kuwa mgeni rasmi katika sherehe za ufunguzi wa mashindano  kaimu katibu mkuu wa Chama cha Mpira wa pete CHANETA  Rose mkisi anasimulia kuhusu ratiba na utaratibu wote utakaotumika hapo kesho .

Kaimu katibu mkuu chaneta Rose Mkisi
SIKIZA HAPA 

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers