HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

3 September 2012

LAZIMA KUIBUA VIPAJI VYA WAAMUZI

Kutoka kushoto ni kapteni mstaafu wa jeshi la wananchi wa tanzania Stanley Lugenge amesema kwa sasa tanzania haina budi  kukubariana na mageuzi ya soka hasa katika fani ya uamuzi kwani  inatakiwa katika mashindano ya watoto kupata waamuzi ambao na wao watakuwa lika moja na wenzao ili kuweza kujifunza angali wakiwa wadogo nini maana ya kuchezesha soka 
SIKIZA HAPA


No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers