HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

21 October 2012

Esperance HIYOO FAINALI



Esperance Imeingia fainali ya klabu bingwa afrika kwa mara ya tatu mfululizo baada ya kushinda goli moja kwa sifuri dhidi ya  TP Mazembe kutoka jamhuri ya Kidemkrasia ya watu wa kongo  Baada ya Mlinzi  Mohamed Ben Mansour kufunga goli pekee huku zikiwa zimesalia dakika 20 mpira kwisha baada ya mpira wa faulo ya moja kwa moja kumgonga mlinzi wa timu hiyo. huu umekuwa ushindi mtamu kwa vijana hawa ambao huitwa kwa jina la utani Gold And Blood  mara baada ya  miaka miwili ambapo timu hiyo iliifungwa na Mazembe bao sita kwa bila .

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers