HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

7 October 2012

POLISI BALAX MABINGWA DARTS TAIFA (TADA) 2012.



Katibu Tawala Wilaya ya Moshi Mjini , Hashimu Shimbo(kulia) akiwakabidhi Kikombe wachezaji wa klabu ya Polisi Baalax mara baada ya kuibuka mabingwa katika fainali za mashindano ya Darts Taifa(TADA) yaliyofanyika katika Hoteli ya Hugo’s Moshi Mkoani Kilimanjaro mwishoni mwa wiki.

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers