
Ambapo timu zinazoshika nafasi ya juu kwa sasa ni Spain na Germany zimejikuta zikichuana huku Ureno ikishika nafasi ya Tatu na Argentina ikishika nafasi ya nne wakati Colombia wao wakishika nafasi ya tisa ambao wameingia kwa mara ya kwanza katika kumi bora tangu mwaka 2002 walipoifunga chile mabao matatu kwa moja
Lakini kwa upande mwingine Tanzania imeporomoka katika viwango hivyo kwa nafasi moja baada na kukamata nafasi ya mia moja ishinrini na nane huku Lebanon ikichukua nafasi ya Tanzania katika viwango hivyo vya fifa ambapo uganda bado inaongoza kwa afrika mashariki ikifuatiwa na kenya katika nafasi ya 126 wakati burundi yenyewe inashika nafasi ya mia moja thelathini na tatu viwango hivi hutolewa kila baada ya mwezi mmoja au miwili pale timu za taifa zinapokuwa zimecheza.
Lakini kwa upande mwingine Tanzania imeporomoka katika viwango hivyo kwa nafasi moja baada na kukamata nafasi ya mia moja ishinrini na nane huku Lebanon ikichukua nafasi ya Tanzania katika viwango hivyo vya fifa ambapo uganda bado inaongoza kwa afrika mashariki ikifuatiwa na kenya katika nafasi ya 126 wakati burundi yenyewe inashika nafasi ya mia moja thelathini na tatu viwango hivi hutolewa kila baada ya mwezi mmoja au miwili pale timu za taifa zinapokuwa zimecheza.
No comments:
Post a Comment