HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

22 November 2012

LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA KWELI MPIRA HAUNA ADABU '' Amsterdam ArenA ''



Jack Wilshere scores for Arsenal against Montpellier

Arsenal imefuzu hatua ya mtoano ya ligi ya mabingwa barani ulaya kwa msimu wa kumi na tatu mfululizo baada ya kuifunga Montpellier goli mbili bila wakati  Schalke ikiifunga  Olympiakos.

 Washika bunduki hao wa london ilibidi wajikaze kiume  na almanusura   Laurent Koscielny aipatie arsenal goli la uongozi katika kipindi cha kwanza  lakini mpira wa kichwa alioupiga uligonga besera  .
 lakini Arsenal walirejea kipndi cha pili wakati  Jack Wilshere alipofunga goli kwa kuchop mpira Jack anafunga lake la kwanza tangu alipoumia miezi kumi na moja iliyopita.

 Lukas Podolski alifunga bao safi ( volley)baada ya   Montpellier kuokoa mpira ambao ulijibiwa moja kwa moja na mjerumani huyo ambapo goli hilo litaonyeshwa sana katika katika picha za runinga .

 Dejected Manchester City players

Manchester City wametolewa katika michuano ya ligi ya Mabingwa Barani ulaya kwa msimu wa pili mfululizo katika hatua ya makundi
 baada ya kutoka sare na real madrid katika dimba la Etihad.
 
Vijana wa  Roberto Mancini's walikuwa wakihitaji ushindi ilikuendelea na matumani ya ushindi lakini  aliyechafua hari ya hewa alikuwa ni   Karim Benzema's baada ya kufunga goli dakika za mwanzo wa mchezo.

 Dakika ya 74  Sergio Aguero alisawazisha kwa pigo la penati baada ya kufanyiwa faulo na  Alvaro Arbeloa, ambaye alitolewa nje na kwa kupewa kadi ya pili ya manjano lakini haikutosha city ilihitaji ushindi na sio sare 

Joao Moutinho 


November 21, 2012 2:45 PM EST
Estádio Do Dragão — Porto
Referee:‬ P. Tagliavento‎
Attendance:‬ 27603‎

Mario Gótze hetween three Ajax-players (Ajax - Borussia Dortmund) 

1 vs 4

November 21, 2012 2:45 PM EST
Amsterdam ArenA — Amsterdam
Referee:‬ Pedro Proença‎
Attendance:‬ 47500‎
Ac Milan players celebrate against Anderlecht 

Milan
Played
November 21, 2012 2:45 PM EST
Stade Constant Vanden Stock — Bruxelles (Brussel)
Referee:‬ D. Skomina‎
Attendance:‬ 19803‎
MATOKE YOTE 

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers