HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

22 November 2012

MASHABIKI SPURS WAPIGANA NA WA LAZIO LEO HII



Mashabiki wa  Tottenham Hotspur wamejeruriwa na wengine tisa hari zao sio nzuri walipokuwa wakipambana na mashabiki wa lazio katika jiji la Roma .
 
Spurs inatarajia kucheza na  Lazio katika jiji la Roma katika michuano ya   Europa League ambapo mamia ya mashabiki wa spurs wapo katika jiji hilo la Roma .

Mashabiki hao wa spurs walighasiwa katika bar iliyopo ndani ya boti katika wilaya ya  Campo de' Fiori na imefahamika kuwa wameumizwa vibaya na machafuko hayo  .
Mashabiki hao wa Lazio inasemekana ni genge la wahuni ambao wanahushishwa na sera za  kibaguzi .
Tottenham  imepata mashabiki kutoka jamii ya kijewish na baadhi ya mashabiki wa Spurs  wanajiita "Yid Army". Peter Herbert, mwenyekiti wa chama cha  wanasheria cha  watu weusi Tayari ameripoti tatizo hilo polisi.
Tisa kati ya walioumia inaaminika ni waingereza wakati kumi ni waa Amerika .

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers