HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

22 February 2013

Hans Jeppson AFARIKI DUNIA


http://desk.unita.it/cgi-bin/showimg2.cgi?file=F_SPR_L1_0013/00000031/0000351F.1c62b74f.jpg&t=big

Timu ya soka ya Napoli na mashabiki wa timu hiyo watavaa skafu nyeusi katika mechi ijayo ikiwa ni  ishara ya kumuaga mchezaji wa zamani wa timu ya Napoli ya italia aliyefariki akiwa na umri wa miaka 87.
 katika taarifa iliyotolewa na tovuti ya klabu hiyo leo hii . Djurgarden, amethibitisha kuwa mchezaji huyo  amefariki leo nyumabani kwake  Rome japokuwa hakusema tatizo gani lilimuondoa mzee huyo wa miaka 87 ambaye  aliwahi kuweka takwimu ya mwaka wakati huo alipotoka  ,  Sweden na kujiunga na  Charlton Athletic mwaka  1951, alijiunga na Napoli akitokea  Atalanta kwa pesa za kitaliano  ITL 150m  1952.
Jeppson alifunga mabao  52 katika mechi   112 alizochezea  Napoli na amekuwa mchezaji anayekamata nafasi ya kumi na moja katika orodha ya wafungaji bora wa klabu hiyo mchezaji huyo alipata umaarfu mkubwa sana kusini mwa italia na tumeomba kumpa heshima katika mechi yetu dhidi ya  Udinese katika ligi ya  Serie A siku ya jumatau usiku.
,Rais wa timu hiyo  Aurelio De Laurentiis ameelezea hisia zake kuhusu kifo cha mchezaji huyo Hans Jeppson, kuwa ni moja kati ya wachezaji bora kupata kutokea katika historia ya klabu hiyo na tutakaa kimya kwa dakika moja kumshukuru mchezaji huyo  ."
Jeppson aliichezea mara  12  Sweden, na kufunga magoli Tisa na kuisaidia timu hiyo kushika nafasi ya tatu katika michuano ya kombe la dunia mwaka 1950 Nchini  Brazil™

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers