HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

10 February 2013

Leighton Baines:Wayne Rooney ni Kiboko

Baines: Rooney capable of special moments

Leighton Baines  Amesema kuwa anakubali uwezo wa mchezaji wa zamani wa Timu hiyo Wayne Rooney katika mchezo wao wa ligi ya kuu ya uingereza utakao chezwa leo katika Dimba old traford ambapo amesifu goli alilofunga dhidi ya Brazil katika mechi ya kirafiki iliyopigwa katika uwanja wa wembley katika mwa juma


“Wayne’s ni mchezaji mzuri tumeliona hilo kwa miaka sasa Baines aliimbia tovuti ya  FIFA.com. Ni moja kati ya wachezaji wakubwa sana katika nchi yetu  na ametengeneza matukio makubwa katika soka ya uingereza  .Na tayari ameweka Takwimu kubwa sana na nina aamini kuwa bado ana muda zaidi wa kufanya zaidi hayo  .”
Baines amemsfu mchezaji huyo wa Man u kuwa ana Mtazamo tofauti na mazoezini na anapokuwa akiitumikia  Na ndicho kinamfanya awe juu zaidi pale .

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers