HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

25 April 2013

Lewandowski NI MCHEZAJI MPYA WA MUNCHEN


 


Lewandowski ni mchezaji mpya wa   Bayern' munich baada ya kusainishwa kwa mchezaji wenzie kutoka  Borusia , Mario  Götze. Wakala wa kocha wa BVB Heynckes' , Enrique Reyes, amethibitisha hilo alipokuwa akizungumza na mtandao wa  'Cope' radio . "anazifanya timu pinzani kuwa na wakati mgumu  ," Kocha huyo wa BVB ameyasema hayo japokuwa amefanikisha mechi ya mkondo wa kwanza dhidi ya wapinzani wao   Barcelona, Heynckes ambaye haonekani kuwemo katika nafasi yoyote kwenye timu hiyo   msimu ujao  : "kwa sasa jina lake linavuma nje ya ulaya, lakini kwa sasa anaoneka atakwenda mapumziko  kama bayern itafuzu fainali ambayo tayari inaonekana kama mguu mmoja ushaingia ndani mara baada ya kuongoza kwa mabao manne  .", Heynckes anaonekana kuweka wazi kuwa angependa kucheza  na Real madrid katika uwanja wa wa  Wembley: "Kucheza na  Real Madrid itakuwa ni fainali ambayo tuliitarajia ndotoni aliongeza   Enrique Reyes.

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers