DUNIA YA MICHEZO

MICHEZO BILA ELIMU =0

HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

30 August 2014

LIGI KUU YA UINGEREZA INAPOTOA MATOKEO YA KUSHANGAZA

Diego Costa (centre) celebrates his opening goal


Diego Costa amefunga magoli mawili huku  Chelsea ikipata ushindi wa Kushangaza katika Dimba la   Everton Wakiilinda Takwimu yao ya Asimilimia 100% ya ushindi katika msimu mpya  Ligi kuu ya Uingereza .

Everton walijitahidi kurejesha magoli yao kutoka goli mbili nyuma lakini jitihada zao hazikuweza kufua dafu sana mara baada ya kujikuta katika Dakika kumi za Mwisho wakiruhu mabao matatu.
Kevin Mirallas heads in for Everton

Lakini Jose Mourinho's aliweza kuhimili mikimiki ya mechi hiyo nakuondoka na alama tatu muhimu huku wakionyesha uwezo tofauti na ule wa mwaka jana baada ya kufungwa  1-0 msimu uliopita katika Dimba la  Goodison Park muda kama huu mwaka jana .

Tangia hapo , Magoli yalikuwa yakiingia kwa upande wa  Chelsea baada ya wapinzani kuzidiwa katika sehemu ya katikati ,Kitu ambacho hakuna ambaye angeweza kuwalaumu katika muda huu wa msimu .
Samuel Eto'o scores for Everton

Hata baada ya kumuondoa mchezaji aliyeigharimu  £50m  Fernando Torres wiki hii , Waliweza kuonyesha namna gani walivyoweza kusajiri msimu huu na kuonyesha mabadiliko makubwa -Hasa pale safu ya Ulinzi ya Everton ilivyoonyesha Udhaifu Mkubwa katika kuzuia mashambulizi  .
 Branislav Ivanovic celebrates scoring Chelsea's second
Costa alihihakikishia ushindi timu yake huku akinonyesha kuwa kiwango kilichotumika kumnunulia kilikuwa sahihi £32m akitokea  Atletico Madrid baada ya kufunga goli katika Sekunde ya 35 , akikimbia kwa kasi huku akiisubiri pasi kutoka mchezaji mwenzake mpya , Cesc Fabregas.

 

MATOKEO MAKUBWA KUTOKEA EPL


: Portsmouth 7-4 Reading (2007), Tottenham 6-4 Reading (2007), Tottenham 9-1 Wigan Athletic (2009), Manchester United 8-2 Arsenal (2011), Arsenal 7-3 Newcastle (2012) and West Brom 5-5 Manchester United (2013). There have been 12 other Premier League matches containing nine goals.


at 8/30/2014
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers

DAVID KAMBONA

DAVID KAMBONA
+255713153348

KAMBONA &GILBRTO WA BRAZL. /7/6/10

KAMBONA NA NADIR HAROUB( CANAVARO)

KAMBONA &KAREMBEU

BADO


HABARI MUHIMU

  • Wenger feared for Roscky future
    Rosicky has endured a nightmare with injury since 2008 Arsenal manager Arsene Wenger admits that at one stage during Tomas Rosicky's re...
  • MANATSA ATWAA TAJI LA JOHNNIE WALKER WAITARA 2012
    Mshindi wa jumla wa mashindano ya kuwania kombe la JohnnieWalker Waitara 2012 Sudson Manatsa akinyanyua juu vikombe vyake viwili alivyosh...
  • NASMA KHAMIS KIDOGO AFARIKI DUNIA
    amefariki usiku wa Kuamkia leo
  • BEKI WA KUPASULIWA SHAVU MWANANYALA
        Beki Ladislaus Mbogo wa Yanga anatarajiwa kupasuliwa uvimbe wa kwenye shavu lake na madaktari wa hospitali ya Mwananyamala wakishi...
  • UNAWEZA KUWEKA BILAULI JUU
    Unaweza kuona jinsi watu wa kusini wanavyoweza kufanya yale ambayo watu walifikiri kwamba hayawezi kuwekana ni moja kati ya vifaa asilia kw...

MITANDAO MINGINE

  • Arsenal FC News Feed
    Spanish trio break knockout curse to reach last 16 - Spain thrashed Austria 3-0 to join Portugal and Switzerland in the last 16 of the World Cup
    5 hours ago
  • BBC Sport - Football
    'You are Canadian heroes' - the forgotten hosts making World Cup history - Canada are making history at this World Cup with a run that is likely to change the face of football in the country forever.
    4 days ago
  • BBCSwahili.com | Habari | Swahili News index
    Vyuo 10 bora zaidi barani Afrika 2026 - Vyuo vikuu barani Afrika vinazidi kutambulika katika jukwaa la kimataifa, kwa kuchochewa na matokeo yenye nguvu ya utafiti, ushirikiano wa kimataifa, na us...
    3 days ago
  • Bleacher Report - World Football
    B/R Staff Predictions for the 2025 UEFA Champions League Playoff Round Bracket - This year's knockout stage of the UEFA Champions League begins with a unique and exciting playoff round. For teams such as Real Madrid and Manchester City,…
    1 year ago
  • Burudan Mwanzo - Mwisho
    BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...
    6 years ago
  • CaughtOffside
    Analysis: While Spain are polishing their weapons, Luis de la Fuente’s defence is shining - After Spain manipulated, tempted and sliced the Austrian press into neat sections on Thursday night, it was difficult to apply much focus on the fact tha...
    1 hour ago
  • CNN.com
    Abortion and guns in 2024 spotlight -
    3 years ago
  • Confederation of African Football - News
    -
  • FIFA.com - Latest News
    Guyana reap rich rewards for investment -
    6 years ago
  • Football & Soccer News, Scores & Results - Tribal Football
    -
  • Football - Fixtures, results, news, match reports, comment
    Tesco forcing suppliers to go through price rises ‘line by line’ -
    3 years ago
  • Football - StarAfrica.com
    Gabon : Daniel Cousin a (enfin) signé son contrat - Sortie de crise à Libreville. Le sélectionneur du Gabon, Daniel Cousin, a enfin signé le contrat qui le lie à l'équipe nationale de football. Les termes de...
    7 years ago
  • Football Games, Results, Scores, Transfers, News | Sky Sports
    -
  • Football | Mail Online
    Drug testers find traces of banned bodybuilding substance in EIGHT Tunisia players' tests at the World Cup 'from contaminated meat' in Mexico - where England are flying in their own chefs - Tunisia's disastrous World Cup campaign was rocked after a number of players - including some who ply their trade in the UK - showed traces of a banned dru...
    2 hours ago
  • Frontpage // marca.com
    Real Madrid sunk by Submarine - Leer
    10 years ago
  • HABARI NA MATUKIO
    Ismani yapokea Sabasaba kwa shamrashamra, Mtatifikolo ahimiza amani - *Na Mwandishi Wetu* IRINGA – Mbunge wa Jimbo la Ismani, Mhe. Emmanuela Mtatifikolo, amezindua rasmi maonesho na sherehe za Sabasaba zinazofanyika katika K...
    22 hours ago
  • HOME
    MSUVA AFIKISHA MAGOLI 50 YANGA SC - Ilikuwa dakika ya 68 akitokea wing ya kulia baada ya kuwahadaa vyema walinzi wa Mtibwa Sugar na kuiandikia Yanga SC goli la pili na goli la 50 katika ...
    9 years ago
  • Italian football news | Football Italia
    -
  • JANE JOHN
    DISCUSSION ON EU-TANZANIA TRANSFER AGREEMENT WHICH ALLOWS TO TRIAL PIRATES CAPTURED BY EUROPEAN NAVAL FORCES IN TANZANIA COURTS - [image: 1] *From left is Political Officer Delegation of the European Union Tom Vens, Rear Admiral Commander Task Force 465 Jürgen zur Mühlen , and the Cha...
    12 years ago
  • Latest Football news, Blogs & Forums | FourFourTwo
    -
  • Latest Sport news, results and comment | Sport | The Independent
    -
  • LENZI YA MICHEZO
    KIGOMA YAWAKATAA WANAOCHOCHEA VURUGU - Viongozi wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGOs) mkoani Kigoma, wamesema uvunjifu wa amani unachangia kuchelewesha au kusitisha utekelezaji wa miradi m...
    23 hours ago
  • ManUtd.com News RSS
    U21s report: Palace 0 United 2 - The young Reds advance to the semi-finals in Premier League 2, after victory in South London.
    1 month ago
  • MICHUZI BLOG
    NBAA YASHIRIKI MAONESHO YA 50 YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA SABASABA 2026 - BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) inashiriki Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 50 yanayoendelea kwenye Viwanja vya Sabasab...
    1 hour ago
  • mirror - Football
    How Tottenham's £237m spending spree could pave the way for the return of Harry Kane - Tottenham might well have paid over the odds for Mateus Fernandes and Sandro Tonali but their early summer outlay shows they mean real transfer business an...
    4 hours ago
  • MO BLOG
    Nhà Cái VF555 Nhiều Chương Trình Khuyến Mãi VF555 Tặng 128K - Nhà cái VF555 Tặng 128K không chỉ nổi tiếng với sự uy tín mà còn là điểm đến lý tưởng cho những người yêu thích các trò chơi cá cược. Với nhiều chương trìn...
    2 years ago
  • MTAA KWA MTAA BLOG
    WANAHISA WAIDHINISHA HESABU ZA TBL BAADA YA MWAKA WA MAFANIKIO - *Na Mwandishi Wetu* *Dar es Salaam. Tanzania Breweries PLC (TBL) imeendelea kuonyesha uimara wa biashara yake baada ya wanahisa kupitisha Ripoti ya Wak...
    40 minutes ago
  • ROCKERSPORTS
    Hatma ya Morocco kuandaa AFCON kujulikiana Nov 11 - *Shirikisho la soka barani Afrika limesema linatambua juu ya mlipuko wa ugonjwa Ebola barani Afrika licha ya kugomea ombi la kuahirishwa kwa fainali za m...
    11 years ago
  • SUFIANIMAFOTO
    BALOZI CP KAGANDA AKUTANA NA MKURUGENZI WA IDARA YA AFRIKA NA ASIA KUIMARISHA USHIRIKIANO - *Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Kamishna wa Polisi (CP) Suzan Kaganda, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Idara ya Afrika na Asia katika...
    3 months ago
  • Super Mario Blog
    Barcelona washtukia mchezo mchafu wa Real Madrid - *RAIS wa Barcelona Josep Maria Bartomeu* amefichua kuwa mahasimu wao Real Madrid wamehusika na mchezo wa uhamisho wa Neymar kiasi cha kutakiwa kuwasilish...
    11 years ago
  • TanzaniaSports.com | All About Sports in Tanzania
    DR CONGO NA HISTORIA, KUIVAA ENGLAND 32 BORA - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DR Congo) imeandika historia kwa kufuzu kwa mara ya kwanza hatua ya 32 bora ya […]
    5 days ago
  • ZanziNews
    WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS - MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka jiwe la ms...
    3 months ago

MATOKEO

MUDA

World time

VICHWA VYA HABARI

K-SPORT.COM/UK

VIWANGO VYA UBORA FIFA

TUTUMIE HABARI YA MICHEZO ,BURUDANI TUTACHAPISHA

TUTUMIE HABARI YA MICHEZO ,BURUDANI TUTACHAPISHA
lisungu_chisara@yahoo.com

IDADI YA MLIOTEMBELEA

blog counter
blog counter

Feedjit

Lisungu David kambona .http://duniayamichezo.blogspot.com/. Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.