DUNIA YA MICHEZO

MICHEZO BILA ELIMU =0

HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

30 August 2014

LIGI KUU YA UINGEREZA INAPOTOA MATOKEO YA KUSHANGAZA

Diego Costa (centre) celebrates his opening goal


Diego Costa amefunga magoli mawili huku  Chelsea ikipata ushindi wa Kushangaza katika Dimba la   Everton Wakiilinda Takwimu yao ya Asimilimia 100% ya ushindi katika msimu mpya  Ligi kuu ya Uingereza .

Everton walijitahidi kurejesha magoli yao kutoka goli mbili nyuma lakini jitihada zao hazikuweza kufua dafu sana mara baada ya kujikuta katika Dakika kumi za Mwisho wakiruhu mabao matatu.
Kevin Mirallas heads in for Everton

Lakini Jose Mourinho's aliweza kuhimili mikimiki ya mechi hiyo nakuondoka na alama tatu muhimu huku wakionyesha uwezo tofauti na ule wa mwaka jana baada ya kufungwa  1-0 msimu uliopita katika Dimba la  Goodison Park muda kama huu mwaka jana .

Tangia hapo , Magoli yalikuwa yakiingia kwa upande wa  Chelsea baada ya wapinzani kuzidiwa katika sehemu ya katikati ,Kitu ambacho hakuna ambaye angeweza kuwalaumu katika muda huu wa msimu .
Samuel Eto'o scores for Everton

Hata baada ya kumuondoa mchezaji aliyeigharimu  £50m  Fernando Torres wiki hii , Waliweza kuonyesha namna gani walivyoweza kusajiri msimu huu na kuonyesha mabadiliko makubwa -Hasa pale safu ya Ulinzi ya Everton ilivyoonyesha Udhaifu Mkubwa katika kuzuia mashambulizi  .
 Branislav Ivanovic celebrates scoring Chelsea's second
Costa alihihakikishia ushindi timu yake huku akinonyesha kuwa kiwango kilichotumika kumnunulia kilikuwa sahihi £32m akitokea  Atletico Madrid baada ya kufunga goli katika Sekunde ya 35 , akikimbia kwa kasi huku akiisubiri pasi kutoka mchezaji mwenzake mpya , Cesc Fabregas.

 

MATOKEO MAKUBWA KUTOKEA EPL


: Portsmouth 7-4 Reading (2007), Tottenham 6-4 Reading (2007), Tottenham 9-1 Wigan Athletic (2009), Manchester United 8-2 Arsenal (2011), Arsenal 7-3 Newcastle (2012) and West Brom 5-5 Manchester United (2013). There have been 12 other Premier League matches containing nine goals.


at 8/30/2014
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers

DAVID KAMBONA

DAVID KAMBONA
+255713153348

KAMBONA &GILBRTO WA BRAZL. /7/6/10

KAMBONA NA NADIR HAROUB( CANAVARO)

KAMBONA &KAREMBEU

BADO


HABARI MUHIMU

  • THE ORIGINAL HISTORY OF OSCAR SALATHIEL KENETH KAMBONA 1925 -1997
    Oscar Selathiel Kambona was born on the shores of Lake Nyasa in a small village called Kwambe near Mbamba Bay in the district of Mbinga, Son...
  • NANI MWANAUME LEO ? ROYAL MADRID VS BARCELONA
    SANTIAGO BERNABEU       August 29, 2012 4:30 PM EDT Estadio Santiago Bernabéu — Madrid Hii sasa kashfa Ronaldo naye anakaba Real M...
  • France to host UEFA EURO 2016
    var newsTitleString = "France to host UEFA EURO 2016"; France were today named by UEFA as the hosts of the 2016 UEFA European ...
  • MICHUANO YA MBIO NDEFU INAUA MBIO FUPI (SIKIZA RADIO)
    Shirikisho la mchezo wa riadha nchini RT linaandaa mkakati utakaowabana waandaaji michuano ya mbio ndefu ambayo hufanyika kila mwak...
  • TATIZO LA SOKA LA TANZANIA HATUHESHIMIANI ADOLF RISHAARD (SIKIZA SAUTI)
    Katika kuitazama kiundani soka ya Tanzania nimemtafuta mchezaji wa zamani wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania Adolf Mohamed Rishaard na ...

MITANDAO MINGINE

  • Arsenal FC News Feed
    Birchall pleased to see U18s get over the line - Our under-18s head coach was delighted that we were able to turn our good performance into three points against West Ham
    1 hour ago
  • BBC Sport - Football
    A remarkable finale - but will 13 chaotic minutes cost Man City title? - A chaotic 13-minute spell from Man City in the second half of a six-goal thriller at Everton could prove to be the visitors' undoing in the Premier League ...
    16 hours ago
  • BBCSwahili.com | Habari | Swahili News index
    Ruto apendekeza ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta Tanga Tanzania - Rais wa Kenya William Ruto ametoa wito wa ushirikiano wa kikanda na ushirikiano wa kiuchumi, akizitaka Kenya na Tanzania kuimarisha uhusiano wa uwekezaji n...
    4 hours ago
  • Bleacher Report - World Football
    B/R Staff Predictions for the 2025 UEFA Champions League Playoff Round Bracket - This year's knockout stage of the UEFA Champions League begins with a unique and exciting playoff round. For teams such as Real Madrid and Manchester City,…
    1 year ago
  • Burudan Mwanzo - Mwisho
    BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...
    6 years ago
  • CaughtOffside
    The reason why Cesc Fabregas is having second thoughts over taking the Chelsea job - One name that is making waves in the managerial world is Spaniard Cesc Fabregas who has impressed with Como in Serie A. His team is currently sitting in ...
    6 hours ago
  • CNN.com
    Abortion and guns in 2024 spotlight -
    2 years ago
  • Confederation of African Football - News
    -
  • FIFA.com - Latest News
    Guyana reap rich rewards for investment -
    5 years ago
  • Football & Soccer News, Scores & Results - Tribal Football
    -
  • Football - Fixtures, results, news, match reports, comment
    Tesco forcing suppliers to go through price rises ‘line by line’ -
    3 years ago
  • Football - StarAfrica.com
    Gabon : Daniel Cousin a (enfin) signé son contrat - Sortie de crise à Libreville. Le sélectionneur du Gabon, Daniel Cousin, a enfin signé le contrat qui le lie à l'équipe nationale de football. Les termes de...
    7 years ago
  • Football Games, Results, Scores, Transfers, News | Sky Sports
    -
  • Football | Mail Online
    Nottingham Forest ponder equipping Morgan Gibbs-White with a MASK after star's horror collision with Chelsea star Robert Sanchez during 3-1 win - TOM COLLOMOSSE: Nottingham Forest are likely to investigate whether Morgan Gibbs-White can play in the Europa League semi-final with a protective mask.
    1 hour ago
  • Frontpage // marca.com
    Real Madrid sunk by Submarine - Leer
    10 years ago
  • HABARI NA MATUKIO
    Tanzania, Kenya Zasaini Mkataba wa Kuimarisha Utumishi wa Umma - *Dar es Salaam - Mei 4, 2026* *Hati ya makubaliano ya mashirikiano ya kuwajengea uwezo watumishi wa umma wa Tanzania na Kenya imesainiwa kati ya Dkt. Ern...
    20 hours ago
  • HOME
    MSUVA AFIKISHA MAGOLI 50 YANGA SC - Ilikuwa dakika ya 68 akitokea wing ya kulia baada ya kuwahadaa vyema walinzi wa Mtibwa Sugar na kuiandikia Yanga SC goli la pili na goli la 50 katika ...
    9 years ago
  • Italian football news | Football Italia
    -
  • JANE JOHN
    DISCUSSION ON EU-TANZANIA TRANSFER AGREEMENT WHICH ALLOWS TO TRIAL PIRATES CAPTURED BY EUROPEAN NAVAL FORCES IN TANZANIA COURTS - [image: 1] *From left is Political Officer Delegation of the European Union Tom Vens, Rear Admiral Commander Task Force 465 Jürgen zur Mühlen , and the Cha...
    11 years ago
  • Latest Football news, Blogs & Forums | FourFourTwo
    -
  • Latest Sport news, results and comment | Sport | The Independent
    -
  • LENZI YA MICHEZO
    Sir Alex Ferguson akimbizwa hospitali kwa matibabu ya dharura - Kocha wa zamani wa klabu ya Manchester United, Sir Alex Ferguson, anaripotiwa kuendelea vizuri na kurejea katika hali ya kawaida baada ya kukimbizwa hos...
    16 hours ago
  • ManUtd.com News RSS
    U21s report: Palace 0 United 2 - The young Reds advance to the semi-finals in Premier League 2, after victory in South London.
    20 hours ago
  • MICHUZI BLOG
    RUTO ATOA WITO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI,ASEMA MIPAKA ISIWE KIKWAZO: - Na Janeth Raphael MichuziTv - Bungeni Dodoma Rais wa Kenya, William Ruto, ametoa wito mzito kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuharakish...
    5 hours ago
  • mirror - Football
    Declan Rice already knows UEFA precedent as Arsenal face Champions League ban nightmare - Declan Rice faces an anxious wait as UEFA look into his comments
    3 days ago
  • MO BLOG
    Nhà Cái VF555 Nhiều Chương Trình Khuyến Mãi VF555 Tặng 128K - Nhà cái VF555 Tặng 128K không chỉ nổi tiếng với sự uy tín mà còn là điểm đến lý tưởng cho những người yêu thích các trò chơi cá cược. Với nhiều chương trìn...
    2 years ago
  • MTAA KWA MTAA BLOG
    TANZANIA NA KENYA ZASANII MKATABA WA VYETI VYA MABAHARIA NA NA USHIRIKIANO WA USAFIRI WA MAJINI - SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania na Mamlaka ya Udhibiti wa usafiri wa Majini nchini Kenya wamesaini mkataba wa utambuzi wa vyeti vya mabaharia na ha...
    7 hours ago
  • ROCKERSPORTS
    Hatma ya Morocco kuandaa AFCON kujulikiana Nov 11 - *Shirikisho la soka barani Afrika limesema linatambua juu ya mlipuko wa ugonjwa Ebola barani Afrika licha ya kugomea ombi la kuahirishwa kwa fainali za ma...
    11 years ago
  • SUFIANIMAFOTO
    BALOZI CP KAGANDA AKUTANA NA MKURUGENZI WA IDARA YA AFRIKA NA ASIA KUIMARISHA USHIRIKIANO - *Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Kamishna wa Polisi (CP) Suzan Kaganda, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Idara ya Afrika na Asia katika...
    1 month ago
  • Super Mario Blog
    Barcelona washtukia mchezo mchafu wa Real Madrid - *RAIS wa Barcelona Josep Maria Bartomeu* amefichua kuwa mahasimu wao Real Madrid wamehusika na mchezo wa uhamisho wa Neymar kiasi cha kutakiwa kuwasilish...
    11 years ago
  • TanzaniaSports.com | All About Sports in Tanzania
    Kwa kiwango hiki, hili halikubaliki, Arteta… - Arteta ‘akiwa amekasirika sana’ baada ya VAR kuinyima Arsenal penalti dhidi ya Atlético Kocha wa Mikel Arteta amesema alikuwa “amekasirika […]
    5 days ago
  • ZanziNews
    WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS - MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka jiwe la ms...
    5 weeks ago

MATOKEO

MUDA

World time

VICHWA VYA HABARI

K-SPORT.COM/UK

VIWANGO VYA UBORA FIFA

TUTUMIE HABARI YA MICHEZO ,BURUDANI TUTACHAPISHA

TUTUMIE HABARI YA MICHEZO ,BURUDANI TUTACHAPISHA
lisungu_chisara@yahoo.com

IDADI YA MLIOTEMBELEA

blog counter
blog counter

Feedjit

Lisungu David kambona .http://duniayamichezo.blogspot.com/. Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.