Picha ni mkufunzi wa sheria za ngumi nchini Emanuel Mlundwa akitambulisha pambano la ngumi la uzito wa midle weight wa International Circuit BOxing (ICB) kati ya Japhet Kaseba na Francis Cheka ambaye Ndiye Bingwa anayetetea Ubingwa huo japhet kaseba amezoeleka machoni pa watua wengi katika mchezo wa Kick Boxing lakini safari hii atacheza Boxing.
Pichani ni Francis Cheka kutoka morogoro ambaye anatetea ubingwa wake hizi sasa amabpo atapigana na Japhet kaseba hivi karibuni wengine unao waona pichani ni wadau wa Mchezo ngumi chini
No comments:
Post a Comment