HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

6 August 2012

VIZURI LAKINI HIKI NDICHO KINACHOUA SOKA





Klabu ya soka ya yanga leo imekwenda bungeni kupereka kikombe walichoshinda cha kagame baada ya kuifunga Azam fc hii imekuwa tabia kwa timu za Tanzania hasa Simba na Yanga kwenda bungeni lakini hizi ndio mwanzo wa siasa michezo kila kukicha wakifanya jambo dogo lazima zikimbilia bungeni ndio maana hata wa bunge wengi ambao huvitumia vilabu katika matakwa yao binafsi ya kisiasa hasa simba na yanga
ni kweli kila nchi inautamaduni weka ningefurai au ningeona kuna maaana wangeenda ikulu kuveshwa nishani na mh rais kwa kazi walizo fanya lakini bungeni ni siasa mtindo mmoja hakuna kingine wanachofuata .

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers