HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

13 March 2013

HIVI UNAJISKIAJE MCHEZAJI WAKO WA ZAMANI ANAKUFUNGENI GOLI LA MAUDHI WAULIZE SCHALKE WATAKUPA JIBU ?

  Burak Yilmaz

Galatasaray Imefuzu katika hatua ya Robo fainali baada ya kuwabamiza wajerumani   schalke kwa  mabao mawili kwa matatu  3-2 na kupata ushindi katika ardhi ya ujerumani
Baada ya Kutoka suluhu ya goli moja kwa moja katika mechi ya kwanza  , Roman Neustadter alianza kuleta balaa wa waturuki baada ya kuipatia  Schalke goli katika dakika ya  17 baada ya kuunganisha mpira wa kona 
 Galatasaray weather second-half Schalke surge
 
Lakini  Galatasaray ililudi mchezoni baada ya kuibamiza shalke kwa mabao mawili ya haraka haraka huku goli lilovutia likifungwa kwa umbali wa  mita 25- hukumfungaji wa goli hilo akiwa mchezaji na kiungo wa  zamani wa -Schalke  Hatim Altintop and na goli jingine likifungwa na  Burak Yilmaz baada ya kuuchop mpira na kumpita mlinga wa schalke . 
Burak Yilmaz
Michel Bastos raia wa Brazil alisawazisha goli hilo lakini dakika za mwisho wa mchezo  Umut Bulut's alifunga goli la mwisho na kuisikuma schalke nje ya mashindano  .

schalke

Schalke

galatasaray

Galatasaray

34Hildebrand (GK)25Muslera (GK)
4Höwedes (C)4Hamit Altıntop
Goal37
9Bastos
Goal63
8Selçuk İnan (C)
12Höger
Yellow Card14
Substitution85
10Felipe Melo
17Farfán11Riera
20Pukki
Substitution85
12Drogba
Yellow Card85
22Uchida13Nounkeu
31Draxler14Sneijder
Substitution70
32Matip17Burak Yılmaz
Goal42
Substitution86
33Neustädter
Goal17
Substitution46
26Semih Kaya
Substitution79
35Kolasinac
Yellow Card90+4
27Eboué


No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers