HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

12 May 2013

HUUU NI UPEPO MCHAFU MAN,CITY KWA HARI HIII SIJUI !!!!!

Mancini set for City exit door 



ROBERTO MANCINI inaonekana kama kesho anaweza kupewa mkono wa kwaheri na klabu yake ya  Manchester City baada ya kufungwa katika fainali ya kumbe la FA Cup dhidi ya  Wigan.

Mtaliano huyu anaonekana anajua kinachoendelea baada ya kikao cha Bodi ya Timu hiyo kabla ya mechi yao katika uwanja wa  Wembley.
Na inaonekana hata kama angeshinda mechi hiyo dhidi ya  Latics bado isingetosha kuushawishi uongozi huo kumbakiza katika kikosi hicho mkufunzi huyo wa zamani wa  Inter Milan .

Lakini sasa anaweza akafukuzwa kesho mapema , ambapo itakuwa siku moja baada ya kutwaaa ubingwa mwaka jana .
Mancini, 48, anatarajiwa kupokezwa na kocha wa Malaga’ raia wa chile   Manuel Pellegrini — Muda mchache baada ya klabu hiyo kutangaza kuwa itakwenda kufanya mazoezi kwa ajiri ya msimu ujao huko New York  .
Kabla ya kwenda huko Mabingwa hao wa mwaka jana  wana mechi mbili ambazo ni kati ya  Reading siku ya Jumanne na jumapili dhidi ya Norwich .
Mancini atakuwa bado mkufunzi wa Timu hiyo mpaka pale ambapo watamaliza majadiliano ya kandarasi aliyoingia miaka miine iliyopita .
Kama atakufukuzwa kabla ya Mechi hizo kaimu kocha wa Timu hiyo Brian Kidd ataingoza timu hiyo ambayo inahitahiji alama moja kujihakikishia nafasi ya pili nyuma ya united 
Akiongea baada ya Mechi waliyopoteza Dhidi ya  Latics, Mancini  "Nitajua Mustakbali ndani ya majuma mawili yajayo ".
Aidha amewatuhumu maafisa wa klabu yake kuwa wameshindwa kutunza siri kuwa nafasi yake itachukuliwa na  Pellegrini baada kuonekana kuwa na jamabo kama hilo mwezi  February.
Tetesi zinasema kuwa kulikuwa na dalili kuwa baada ya fainali ya Kombe la FA kocha wa zamani wa  Real Madrid atachukua nafasi katika dimba la Etihad baada ya kuoneka kuna asimilia ndogo ua mkufunzi huyo kuhamia timu hiyo .
Na ijumaa iliyopita ,Taarifa zilisema kuwa Mkurugenzi wa soka wa timu hiyo   Txiki Begiristain amekubali  Pellegrini kuchukua nafasi kwenye timu hiyo.

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers