HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

11 May 2013

SOKA HAINA ADABU JAMANI SOMA HAPA


Ben Watson scores for Wigan against Manchester City in the FA Cup final

Wigan Athletic imeshinda taji baada ya miaka  81-katika historia ya klabu hiyo baada Ben Watson's kufunga katika dakika za mwisho katika fainali iliyofanyika katika uwanja wa  Wembley kwenye kombe la FA Cup dhidi ya machester city 
Roberto Martinez's amekuwa mhispania wa kwanza kutwaa taji katika ardhi ya uingereza huku akiiwezsha kwa mara ya kwanza timu ya ligi ya uingereza kuchukua ubingwa wa FA cup huku ikiwa katika hatari ya kushuka daraja  Pablo Zabaleta alilimwa kadi nyekundu kabla ya mchezo kumalizika na zilikuwa zimbaki dakika sita tu mpira kumalzika .
  akitokea kwenye Benchi Watson, ambaye amekosa msimu huu baada ya kuumia mguu mwezi November, Ndiye aliye wainua mashabiki wa Wigan's akiunganisha kichwa baada kupigwa  kona ya Shaun Maloney's na kuwafanya city kutoka bila kombe lolote msimu huu
.
 FA CUP KATIKA PICHA
 Kocha wa wigan Roberto Martinez akishangilia kombe na  Ben Watson's ambaye ndiye mfungaji wa goli pekee katika mechi hiyo.Manchester City defender Pablo Zabaleta is sent off in the FA Cup final
Mwamuzi wa mchezo wa kombe la FA CUP andy Marriner akimpa kadi nyekundu Pablo Zabaleta baada ya kumchezea faulo  Macmanaman

Wigan owner Dave Whelan Kissing mwah

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers