Xavi Hernández Amendelea kuvunja rekodi nchini uispania katika soka ya kulipwa baada ya kushinda ligi mara saba akimzidi mkufunzi wake wa zamani wa timu hiyo Guardiola na kumfanya kuwa mchezai pekee kwa sasa wa Barcelona kushinda makombe mengi zaaudi lakini Josep Guardiola, akiwa kama mchezaji alishinda mataji sita na meigine matatu akiwa kama (manager wa timu hiyo).
samba samba na Xavi, kuna Cesc Fábregas, ambaye ndio kwanza ameshinda taji la kwanza la ligi msimu ,
japokuwa ana maisha marefu zaidi kama mchezai wa kulipwa .lakini alianza kucheza soka mara ya kwanza akiwa na miaka , 16½, akiwa na Arsenal, japokuwa alikumbwa na ukame wa makombe katika klabu hiyo ya London ., japokuwa hakucheza hata mechi moja akiwa Barcelona mwaka 2003-04, Fábregas alipokea medali akiwa na klabu yake hiyo ya zamani na ya sasa .
kwa Xavi, hili ni taji la 24th tangu alipoanza kucheza mechi yake ya kwanza 18th August 1998, Dhidi ya Mallorca katika Spanish Super
Cup. na hili ni la 24 na kumfanya Xavi kuwa mchezaji kutoka usipania kuwa na mataji mengi zaidi akiwa ameshinda mataji Tangu mwaka (1999, 2005, 2006, 2009, 2010,
2011 na 2013); na makombe mawili ya kombe la Mfalme ; 3 ya ligi ya mabingwa Barani ulaya ; 2 ya klabu bingwa ya dunia 2Ya mataifa ya ulaya , sasa anakauwa amewapita
, Bakero (2 Real Sociedad na 4 Barcelona); Guardiola na Julio Salinas (2 Bilbao na 4 Barcelona).
Na ni taji la saba pia kwa Eric Abidal,ambaye ameshinda matatu akiwa na Olympique de Lyon kabla hajatua na Barcelona,ambapo ameshinda mengine manne .
No comments:
Post a Comment