HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

26 June 2014

SUAREZ AINGIZA HASARA LIVERPOOL NI LUNGU LA FIFA .

Stage 3: Suarez appears to clamp his jaws down and bite Chiellini's shoulder

Luis Suarez amefungiwa kucheza kwa miezi minne kwa kosa la kumng'ta mchezaji wa timu ya taifa ya italia  Giorgio Chiellini.
Sasa hatatcheza katika kombe la dunia na hatoitumikia klabu yake ya Liverpool Mpaka mwishoni mwa mwezi  October na amefungiwa kuichezea uruguay kwa mechi tisa na atatakiwa kulipa faiani ya  Yuro £65,000.
Suarez na chama cha soka cha uruguya wanayo haki ya kukata rufaa lakini kwa hari ilivyo mpaka rufani hiyo isikilizewe hatoweza kucheza mechi hata moja'.
Mechi ambazo Suarez atakosa katika klabu yake Liverpool hizo hapo chini 

Aug 16: Liverpool v Southampton
Aug 23: Manchester City v Liverpool
Aug 30: Tottenham Hotspur v Liverpool
Sep 13: Liverpool v Aston Villa
Sep 16: Champions League matchday 1
Sep 20: West Ham United v Liverpool
Sep 27: Liverpool v Everton
Sep 30: Champions League matchday 2

Oct 4: Liverpool v West Bromwich Albion
Oct 18: Queens Park Rangers v Liverpool
Oct 21: Champions League matchday 3
Oct 25: Liverpool v Hull City

Hiizi zitakuwa mechi za msimu mzima ambazo suarez atakuwa ametumiakia zikijumuishwa na mechi alizowahi kucheza nyuma.
Taarfia kutoka chama cha soka cha Dunia inasomeka  : 'Mchezaji  Luis Suarez atafungiwa kucheza mechi za rasmi zinazotambulika na fifa tisa . na mechi ya kwanza kutumiakia ni mechi ya kati ya timu hiyo na Colombia itakayochezwa  June 28, 2014.
'na mechi nyuingine ambazo mchezaji atazitumikia ni ambazo kama timu yake ya taifa itafanikiwa kuendelea kusonga mbele katika michuano ya kombe la Dunia .
'Mcheza huyo amefungiwa pia kujishughurisha na shughuri zozote zile zinahusiana na mchezo wa soka kwa kipini chote hicho ..'
Suarez's na wadhamini wake   adidas wanafanya mazungumzo ya kina kuhusu jambo lilomkuta mchezaji wao. .

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers