HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

18 July 2014

CANAVARO:NITAFURAHI STARS IKICHEZA ZANZIBAR(SIKIZA SAUTI)

Nahodha wa Timu ya soka ya Tanzania amesema atajiskia raha sana Endapo Taifa stars itacheza katika uwanja wa Aman .

Amesema Tangu uwanja wa aman ufunguliwe hajawahi kucheza katika uwanja huo na anatamani siku moja Taifa stars iende ikacheze unguja na ana imani kuwa Viongozi wa vyama vya soka ZFA na TFF wakikaa pamoja na kama kimiundo Mbinu itawekwa Vizuri basi hakuna kisichowezekana 
SIKIZA HAPA


No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers