HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

18 July 2014

MART NOIJ KUZURU ZANZIBAR WIKI IJAYO(SIKIZA SAUTI )

Kocha mkuu wa Timu ya soka ya Tanzania Mart Noij amesema kuwa haijui Zanzibar na anapanga kwenda kutembea baada ya Mechi kati Tanzania na Msumbiji .
 
Noij anasema kuwa anaipenda afrika na alianza kufanya kazi miaka kumi na tano iliyopita katika bara la afrika lakini Bado hajafika katika Ardhi ya Zanzibar na anapanga Baada ya mechi aende akaone jinsi Kisiwa hicho kilivyo japokuwa amekiri kuwa kuna Baadhi ya Wachezaji wazuri kutoka Zanzibar akiwemo Nahodha Nadir Haroub Canavaro na Said Morad kuwa ni wachezaji wazuri .
SIKIZA


No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers