HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

2 July 2014

MAREKANI CHALI YAKUBALI YAISHE KWA UBELGIJI

Belgium v USA
 
MaGoli yaliyofungwa na  Kevin De Bruyne na Romelu Lukaku katika Dakika thelathini za Ziada yameiwezesha  kuisukuma nje timu ya taifa ya Marekani na kuivusha Ubelgiji katika hatua ya kumi na sita bora na kuingia robo fainali katika mashindano ya Kombe la Dunia  .

Mlinda mlango  Tim Howard alifanya kazi ya ziada kuokoa michomo mikali na kuisadia timu ya kwenda mpaka muda wa Nyongeza na Baadaye kufungwa na De Bruyne kwa shuti dogo la chini chini  . 

Lukaku's alifunga bao la pili liloonekana kama limemaliza mchezo lakini kijana  Julian Green alirejesha goli moja kwa mpira maridadi akiunganisha juu kwa juu . 

lakini ubelgiji walijitahidi kulinda magoli yao ya uongozi licha marekani kulihemea Lango ubelgiji kwa Muda wote uliobaki na sasa watapambana na  Argentina siku ya Jumamosi .

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers