Haijawahi kutokea kwa waziri anayehusika na michezo nchi hii kutembelea vilabu vikubwa vya soka nchini namaanisha watani wa jadi Simba na Yanga lakni Joel Nkaya Bendera amemaliza kwa kutemblea vilabu hvyo nguli Nchini
NDUGU ZANGUNI SIMBA NA YANGA HUU NDIO WAKATI KWANI WAZIRI AMEWAPA HESHIMA ITUMIE NI ILITUFIKE MBALI ZAIDI.
TUACHE POLOJA TUTENGENEZE SOKA
No comments:
Post a Comment