HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

10 October 2010

MAROC 1 SISI 0 BAHATI MBAYA JAMANI TUISUBIRI ARIKA YA KATI

Naama wametufunga bao sio mbaya tukapata ukumbusho niliyesimama nae ni Yusuph Haji Mdogo wake mwasasoka machachari wa timu ya taifa ya moroco aliyetamba na timu katika timu iliyoshiriki michuano ya kombe la dunia kule ufaransa jamaa mwingine ni wa msalaba mwekundu na yeye alitaka ukumbusho lakini akunipa mail yake bila shaka ataingia kwenye site hii na atachukua picha yangu.

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers