HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

7 September 2012

BFT INAPOJIANDAA NA MASHINDANO YA TAIFA BILA FEDHA



Shirikisho la ngumi la Ridhaa la Tanzania BFT linajiaanfa kufanya mashindano ya ngumi ya taifa hivi karibuni katika uwanja wa ndani wa taifa hasa  katika kujiandaa na mashindano mbalimbali  ya  kimataifa Makore Mashaga ni katibu mkuu wa shirikisho hilo anasema kuwa bado kuna kazi kubwa ya kufanya kwani shirikisho hilo halipati Ruzuku kutoka serikalini.

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers