HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

10 September 2012

Ligi Kuu Zanzibar - Jamhuri 2 - Duma 0


Wachezaji  wa klabu ya soka ya Jamhuri wakiongozwa nahodha wao wa pili kushoto Mfaume Shaban pamoja na Mohamed Omar mwenye jezi namba 15, wakishangilia goli la pili lililofungwa na Mfaume Shaban kwa njia ya penalti, kwenye mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar ya ‘Grand Malt’ uliochezwa uwanja wa Gombani pemba , na Jamhuri kuifunga Duma magoli 2- 0 (picha na Haji Nassor, Pemba)

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers