HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

6 September 2012

RT YASIKITIKA KWA KUKOSA TENA PESA


 


Mwenyekiti wa chama Riadha za Tanzania Antony Mtaka amesiskitishwa na Baadhi ya mikoa kushindwa kupata Udhamini hasa katika kutafuta timu ya kushiriki mashindano ya riadha ya taifa yanyaofanyika kesho 7/9/13 katika uwanja wa taifa baadhi ya mikoa imeshindwa kuleta timu kutokana na ufinyu wa pesa na kuathiri kabisa ushiriki wa mashindano hayo .
SIKIZA HAPA

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers