HABARI MPENZI MWANAMICHEZO KARIBU KATIKA KURASA HII MAHSUSI KWA HABARI ZA MICHEZO PIA UNAWEZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA BEI NAFUU ZAIDI KWA MUDA MREFU ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA +255713 15 33 48

21 October 2012

Caroline Wozniacki ANYAKUA Kremlin Cup


Caroline Wozniacki Ameshinda Taji lake la  20th katika mfululizo wa maisha yake katika mchezo wa tenis mmoja mmoja akimshinda Sam Stosur 6-2 4-6 7-5  na kutwaa ubingwa huo wa  Kremlin Cup huko moscow siku ya jumapili  .Caroline Wozniacki's  ambaye baba yake , Piotr, alikuwa mchezaji wa kulipwa wa soka wakati mama yake Anna alikuwa mchezaji wa kimataifa wa mpira wa mikono  Mchezaji huyo Mwenye miaka   22- ni mchumba wa mcheza golf nambari moja Duniani  Rory McIlroy

No comments:

Post a Comment

lisungu_chisara@yahoo.com

TUTUMIE HABARI YOYOTE YA MICHEZO, BURUDANI TUTAZICHAPISHA

TANGAZA KWA MFUMO HUU


MAHUDHURIO YA WASOMAJI KIMATAIFA

free counters

Followers